Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /6- SURAT AL AN AAM/
 
Aya 1

1- Sifa na utajo mwema ni wa Mwenyezi Mungu Aliyeziumba mbingu na ardhi na Akaweka giza na nuru kwa ajili ya manufaa ya viumbe kwa uwezo Wake na kwa mujibu wa hekima Yake. Kisha pamoja na neema hizi zote kubwa, makafiri wanamshirikisha na kumfanyia mshirika Wake katika ibada!

Previous         Next


1- Sifa na utajo mwema ni wa Mwenyezi Mungu Aliyeziumba mbingu na ardhi na Akaweka giza na nuru kwa ajili ya manufaa ya viumbe kwa uwezo Wake na kwa mujibu wa hekima Yake. Kisha pamoja na neema hizi zote kubwa, makafiri wanamshirikisha na kumfanyia mshirika Wake katika ibada!

 
Main Page Contact us Links About us Site Map