Qurani
/
6- SURAT AL AN AAM/
Aya 9
9- Na lau kama Tungalimfanya anayemtilia nguvu Mtume kuwa ni malaika kama walitakavyo, basi Tungalimfanya kuwa katika umbo la mwanadamu ili waweze kumwona na kumfahamu ayasemayo, kwani wao hawawezi kumwona malaika katika sura yake ya asili. Tena mambo yangaliwakanganya kwa kupelekwa kwa sura ya mwanadamu na Tungaliwatia katika makosa yaleyale yanayowazonga.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map