Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /8 - SURAT AL ANFAL/
 
Aya 29

29-30- Enyi mlioamini! Piganeni na makafiri wa Ahl El Kitab wasiomwamini Mwenyezi Mungu imani sahihi wala hawakubali kama inavyotakikana kufufuliwa na kulipwa, wala hawawajibiki kuyaacha yale aliyoyakataza Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na wala hawaifuati dini ya kweli ya Uislamu, ( piganeni nao) mpaka waamini au walipe kodi  kwa hiari yao bila ya kuasi ili wachangie kuitunisha bajeti ya dola ya Kiislamu.

Previous         Next


29-30- Enyi mlioamini! Piganeni na makafiri wa Ahl El Kitab wasiomwamini Mwenyezi Mungu imani sahihi wala hawakubali kama inavyotakikana kufufuliwa na kulipwa, wala hawawajibiki kuyaacha yale aliyoyakataza Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na wala hawaifuati dini ya kweli ya Uislamu, ( piganeni nao) mpaka waamini au walipe kodi kwa hiari yao bila ya kuasi ili wachangie kuitunisha bajeti ya dola ya Kiislamu.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map