Qurani
/
8 - SURAT AL ANFAL/
Aya 39
39- Na endeleeni kuwapiga vita washirikina mpaka waache kuharibu itikadi za Waumini na kuwaudhi. Wakiacha ukafiri na kuwaudhi Waumini na wakaitakasa Dini ya Mwenyezi Mungu, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuvijua vitendo vyao na Atawalipa kwavyo.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map