Qurani
/
8 - SURAT AL ANFAL/
Aya 9
9- Kumbukeni enyi Waumini, hali ya kuwa mnagawana ngawira na mnazozana, wakati mlipokuwa mnaelekea kwa Mwenyezi Mungu mkimwomba nusura na msaada pale Alipowaandikieni kwamba ni lazima mpigane. Akawajibuni dua yenu na Akawasaidieni kwa roho nyingi takasifu zinazofikia elfu moja zikiandamana mmoja baada ya mwingine
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map