Qurani
/
7- SURAT AL - ARAAF /
Aya 2
2- Umeteremshiwa wewe Qurani ili uwaonye nayo wale wanaokanya wapate kuamini. Na pia uwakumbushe Waumini wapate kuzidi imani yao. Basi usiingie dhiki katika kifua chako unapoifikisha kwa kuogopa kuwa utakanushwa.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map