Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /7- SURAT AL - ARAAF /
 
Aya 29

29- Wabainishie Aliyoyaamrisha Mwenyezi Mungu na useme: Mola wangu Ameamrisha uadilifu na mambo yasiyoingiliwa na uchafu. Na Amekuamrisheni mumhusishe Yeye tu kwa ibada kila wakati na kila mahali, na muwe wenye kumsafia nia katika hayo. Na nyinyi nyote baada ya mauti mtarudia Kwake. Na kama Alivyoanza kukuumbeni kwa wepesi nailhali mlikuwa hammiliki chochote wakati huo, basi mtarudia Kwake kwa urahisi nailhali mmeziacha nyuma ya migongo yenu neema zote mlizo nazo.

Previous         Next


29- Wabainishie Aliyoyaamrisha Mwenyezi Mungu na useme: Mola wangu Ameamrisha uadilifu na mambo yasiyoingiliwa na uchafu. Na Amekuamrisheni mumhusishe Yeye tu kwa ibada kila wakati na kila mahali, na muwe wenye kumsafia nia katika hayo. Na nyinyi nyote baada ya mauti mtarudia Kwake. Na kama Alivyoanza kukuumbeni kwa wepesi nailhali mlikuwa hammiliki chochote wakati huo, basi mtarudia Kwake kwa urahisi nailhali mmeziacha nyuma ya migongo yenu neema zote mlizo nazo.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map