Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /7- SURAT AL - ARAAF /
 
Aya 4

4- Hakika Tuliiangamiza miji mingi kwa sababu watu wao walikuwa wakiwaabudu wasiokuwa Mwenyezi Mungu, na kwa kuwa hawakufuata njia Yake katika mwendo wao. Ikawajia adhabu Yetu wakati wao wameghafilika na wamepata utulivu usiku nao wamelala kama ilivyotokea kwa kaumu ya Lut, au wakaadhibiwa mchana nao wamepumzika kama ilivyotokea kwa kaumu ya Shuaib.

Previous         Next


4- Hakika Tuliiangamiza miji mingi kwa sababu watu wao walikuwa wakiwaabudu wasiokuwa Mwenyezi Mungu, na kwa kuwa hawakufuata njia Yake katika mwendo wao. Ikawajia adhabu Yetu wakati wao wameghafilika na wamepata utulivu usiku nao wamelala kama ilivyotokea kwa kaumu ya Lut, au wakaadhibiwa mchana nao wamepumzika kama ilivyotokea kwa kaumu ya Shuaib.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map