Qurani
/
2- Surat AL - BAQARAH /
Aya 2
2- Hiki ni Kitabu kilichokamilika, nayo ni Qurani Tuliyoiteremsha ambayo mtu mwenye akili na mwadilifu, hana shaka yoyote kwamba imetoka kwa Mwenyezi Mungu, na wala hana shaka katika ukweli wa maelezo na hukumu zake. Ndani yake, mna uongofu kamili kwa wale wanaoitafuta haki na kujie- pusha na madhara na adhabu.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map