Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /2- Surat AL - BAQARAH /
 
Aya 3

3- Na hawa, ndio wale wanaoyaamini mambo ya ghaibu kwa kunyenyekea, na wanayaamini mambo yaliyo nje ya upeo wa viungo vya hisi kama malaika na siku ya mwisho kwani msingi wa kushika dini ni kuamini ghaibu. Pia, wanatekeleza sala sawa sawa kwa kumwelekea Mwenyezi Mungu kwa unyenyekevu kamili na wanatoa sehemu katika vile Alivyowaruzuku  Mwenyezi Mungu  katika milango ya kheri na wema.

Previous         Next


3- Na hawa, ndio wale wanaoyaamini mambo ya ghaibu kwa kunyenyekea, na wanayaamini mambo yaliyo nje ya upeo wa viungo vya hisi kama malaika na siku ya mwisho kwani msingi wa kushika dini ni kuamini ghaibu. Pia, wanatekeleza sala sawa sawa kwa kumwelekea Mwenyezi Mungu kwa unyenyekevu kamili na wanatoa sehemu katika vile Alivyowaruzuku Mwenyezi Mungu katika milango ya kheri na wema.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map