Qurani
/
2- Surat AL - BAQARAH /
Aya 4
4- Na wale wanaoiamini Qurani Aliyokuteremshia Mwenyezi Mungu na yale yaliyomo ndani yake kati ya hukumu na habari, na wanatenda kwa mujibu wa mafundisho yake. Wanaviamini Vitabu vya Mwenyezi Mungu walivyoteremshiwa Mitume na Manabii waliokutangulia kama Taurati na Injili na vinginevyo. Hii ni kwa vile dini zote za Mwenyezi Mungu zina msingi mmoja. Pia, wanasifiwa kuwa na imani kamili juu ya siku ya mwisho na yaliyomo ndani yake kati ya malipo, thawabu na adhabu.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map