Qurani
/
2- Surat AL - BAQARAH /
Aya 9
9- Hao, huwadanganya Waumini kwa vitendo vyao na wanadhani kuwa wanamdanganya Mwenyezi Mungu pale wanapofikiri kwamba Mwenyezi Mungu Havijui vitendo vyao vya siri ilhali Yeye Anazijua siri zao na minong`ono yao. Kwa kweli, wao wanajidanganya wenyewe kwa vile madhara ya vitendo vyao yatawafikia sasa au baadaye. Hii ni kwa kuwa, mtu ambaye humdanganya mtu mwingine akimfikiria ni mjinga ilhali hayuko hivyo, basi hakika anajidanganya mwenyewe.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map