Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /15- SURAT AL HIJR/
 
Aya 19

19- Na Tumekuumbieni ardhi, na Tumekutengenezeeni mpaka ikawa kama busati lililotandikwa, na Tukaweka ndani yake milima iliyosimama imara. Na Tumekuotesheeni ndani namna mbalimbali za mimea ya kuhifadhi uhai wenu, na Tumeifanya kwa vipimo na zama maalumu katika kukua kwake na faida ya lishe, na kwa kadiri ya haja zenu na kwa vipimo vyake, na sura yake kwa umbo na tabia.

Previous         Next


19- Na Tumekuumbieni ardhi, na Tumekutengenezeeni mpaka ikawa kama busati lililotandikwa, na Tukaweka ndani yake milima iliyosimama imara. Na Tumekuotesheeni ndani namna mbalimbali za mimea ya kuhifadhi uhai wenu, na Tumeifanya kwa vipimo na zama maalumu katika kukua kwake na faida ya lishe, na kwa kadiri ya haja zenu na kwa vipimo vyake, na sura yake kwa umbo na tabia.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map