Qurani
/
15- SURAT AL HIJR/
Aya 4
4- Na ikiwa wao wanataka wateremshiwe adhabu ya duniani kama Mwenyezi Mungu Alivyowateketeza waliokuwa kabla yao, basi wajue kuwa Mwenyezi Mungu Hauteketezi mji wowote au watu, ila kwa wakati wake maalumu Aujuao Yeye.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map