Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /15- SURAT AL HIJR/
 
Aya 9

9- Na hakika, kwa ajili ya kuwa wito wa Nabii kwendea haki udumu mpaka siku ya kiyama, Hatuwateremshi malaika, bali Tumeiteremsha Qurani ambayo kukumbusha kwake kunaendelea daima dawamu. Na Sisi ndio wenye kuilinda isiingiliwe na mageuzo na mabadiliko yoyote mpaka kusimama kiyama.

Previous         Next


9- Na hakika, kwa ajili ya kuwa wito wa Nabii kwendea haki udumu mpaka siku ya kiyama, Hatuwateremshi malaika, bali Tumeiteremsha Qurani ambayo kukumbusha kwake kunaendelea daima dawamu. Na Sisi ndio wenye kuilinda isiingiliwe na mageuzo na mabadiliko yoyote mpaka kusimama kiyama.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map