Qurani
/
11-SURAT HUD/
Aya 19
19- Hawa ambao wanawageuza na wanawazuia watu wasiifuate Dini ya Mwenyezi Mungu- nayo ndiyo njia Yake iliyonyooka- na wanataka njia hii iwafikiane na matamanio yao na mapumbao yao kwa hivyo iende upogo, na wanaikanya akhera na yaliyomo ndani yake ya kulipwa thawabu Muumini na kuadhibiwa kafiri, hao ndio makafiri.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map