Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /11-SURAT HUD/
 
Aya 3

3- Mnyenyekeeni Mwenyezi Mungu na huku mnamwomba Akusameheni madhambi yenu. Kisha rejeeni Kwake kwa kumwabudu kwa ikhlasi na kufanya vitendo vyema ili Apate kukustarehesheni starehe nzuri duniani mpaka utakapomalizika muda wenu uliokadiriwa, na apewe huko akhera kila mwenye vitendo vyema vilivyo bora malipo ya kazi yake na fadhila yake. Na ikiwa mtayaacha haya ninayokuitieni kwayo, basi mtajiletea adhabu. Na mimi nakuhofieni adhabu hii katika siku kubwa watakapokusanywa watu wote na kutokea kitisho kikubwa kabisa.

Previous         Next


3- Mnyenyekeeni Mwenyezi Mungu na huku mnamwomba Akusameheni madhambi yenu. Kisha rejeeni Kwake kwa kumwabudu kwa ikhlasi na kufanya vitendo vyema ili Apate kukustarehesheni starehe nzuri duniani mpaka utakapomalizika muda wenu uliokadiriwa, na apewe huko akhera kila mwenye vitendo vyema vilivyo bora malipo ya kazi yake na fadhila yake. Na ikiwa mtayaacha haya ninayokuitieni kwayo, basi mtajiletea adhabu. Na mimi nakuhofieni adhabu hii katika siku kubwa watakapokusanywa watu wote na kutokea kitisho kikubwa kabisa.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map