Qurani
/
11-SURAT HUD/
Aya 40
40- Hata ulipowadia wakati wa amri Yetu ya kuwaangamiza, maji yalikuja kwa nguvu yakifoka na kutoa mapovu kama maji yanavyotokota juu ya moto. Tukamwambia Nuhu: Wapakie pamoja nawe katika safina hiyo kila namna ya wanyama dume na jike. Na pia wapakie humo ahali zako wote isipokuwa iliokwishapita juu yake hukumu Yetu ya kumteketeza. Na pia wapakie humo watu wako walioamini, na hao hawakuwa ila wachache tu.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map