Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /11-SURAT HUD/
 
Aya 9

9- Na katika tabia ya binadamu, ni kujizamisha mwenyewe katika hali aliyonayo. Basi Tukimpa baadhi ya neema kwa huruma Yetu kama vile afya nzuri na ukunjufu wa riziki, kisha baadaye Tukamwondolea neema hizo kwa mujibu wa mipango Yetu, yeye hupita mipaka katika kukata tamaa kuwa neema hiyo haitorudi tena, na akapita mipaka katika kuzikufuru neema nyingine ambazo bado angali anastarehe nazo!

Previous         Next


9- Na katika tabia ya binadamu, ni kujizamisha mwenyewe katika hali aliyonayo. Basi Tukimpa baadhi ya neema kwa huruma Yetu kama vile afya nzuri na ukunjufu wa riziki, kisha baadaye Tukamwondolea neema hizo kwa mujibu wa mipango Yetu, yeye hupita mipaka katika kukata tamaa kuwa neema hiyo haitorudi tena, na akapita mipaka katika kuzikufuru neema nyingine ambazo bado angali anastarehe nazo!

 
Main Page Contact us Links About us Site Map