Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /3- SURAT AL - IMRAN/
 
Aya 19

19- Bila shaka dini ya haki iliyoridhiwa na Mwenyezi Mungu, ni dini ya Tawhidi (Mungu mmoja tu) na kumnyenyekea kwa usafi wa moyo. Mayahudi na Wakristo wametofautiana na dini hii, wakapotoa na wakabadili. Na haikuwa kutofautiana kwao ni kwa sababu ya kuchanganyikiwa au kwa ujinga, kwa vile elimu imekwishawajia, bali yalikuwa hayo ni kwa sababu ya uhasidi na ukaidi uliokuwa baina yao. Na yeyote anayezipinga Dalili za Mwenyezi Mungu, basi naangojee hesabu ya haraka ya Mwenyezi Mungu.

Previous         Next


19- Bila shaka dini ya haki iliyoridhiwa na Mwenyezi Mungu, ni dini ya Tawhidi (Mungu mmoja tu) na kumnyenyekea kwa usafi wa moyo. Mayahudi na Wakristo wametofautiana na dini hii, wakapotoa na wakabadili. Na haikuwa kutofautiana kwao ni kwa sababu ya kuchanganyikiwa au kwa ujinga, kwa vile elimu imekwishawajia, bali yalikuwa hayo ni kwa sababu ya uhasidi na ukaidi uliokuwa baina yao. Na yeyote anayezipinga Dalili za Mwenyezi Mungu, basi naangojee hesabu ya haraka ya Mwenyezi Mungu.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map