Qurani
/
3- SURAT AL - IMRAN/
Aya 29
29- Sema ewe Nabii! Mkiyaficha yaliyomo vifuani mwenu au mkiyadhihirisha katika vitendo vyenu na kauli zenu, hakika Mwenyezi Mungu Anayajua na Anayajua yote yaliyomo mbinguni na yaliyomo ardhini, yanayoonekana na yaliyofichikana. Uwezo Wake unapenya katika viumbe Vyake vyote.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map