Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /17- SURAT AL-ISRAAI/
 
Aya 1

1- Mwenyezi Mungu ndiye Aliyetakasika na kila lisilolaiki naye. Yeye ndiye Aliyemchukua mja Wake Muhammad katika sehemu ya wakati wa usiku kutoka msikiti mtakatifu wa Makka kwenda msikiti wa mbali wa Baytul Maqdis ambao Tuliwabarikia wakazi majirani wa msikiti huo katika mahitaji yao ili Tumwonyeshe baadhi ya ishara Zetu zenye ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha upweke Wangu na ukubwa wa uwezo Wangu. Hakika Mwenyezi Mungu Peke Yake ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kuona.

Previous         Next


1- Mwenyezi Mungu ndiye Aliyetakasika na kila lisilolaiki naye. Yeye ndiye Aliyemchukua mja Wake Muhammad katika sehemu ya wakati wa usiku kutoka msikiti mtakatifu wa Makka kwenda msikiti wa mbali wa Baytul Maqdis ambao Tuliwabarikia wakazi majirani wa msikiti huo katika mahitaji yao ili Tumwonyeshe baadhi ya ishara Zetu zenye ushahidi wa kutosha wa kuthibitisha upweke Wangu na ukubwa wa uwezo Wangu. Hakika Mwenyezi Mungu Peke Yake ndiye Mwenye kusikia na Mwenye kuona.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map