Qurani
/
17- SURAT AL-ISRAAI/
Aya 2
2- Na hiyo Baytul Maqdis, ilikuwa inakaliwa na wana wa Israili baada ya Musa mpaka walipofanya fisadi yao humo, wakafukuzwa hapo zamani. Haya ijapokuwa Sisi Tulimpa Musa Taurati, na Tukatia ndani yake uongofu kwao na Tukawaambia: Msimfanye yeyote wa kumtegemezea mambo yenu isipokuwa Mwenyezi Mungu.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map