Qurani
/
17- SURAT AL-ISRAAI/
Aya 29
29- Wala usiuzuilie mkono wako kutoa katika mambo ya kheri, ukaufanya kama uliofungwa pingu za chuma shingoni mwako ukawa huwezi kuukunjua. Wala usiukunjue wote kabisa kwa kutumia ovyo, la sivyo utakujatukanika kwa ubahili na ilhali una majuto, au utabaki huna kitu umefilisika kwa sababu ya ubadhirifu na israfu.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map