Qurani
/
17- SURAT AL-ISRAAI/
Aya 4
4- Na Tukatekeleza hukumu Yetu kwa wana wa Israili katika yale Tuliyoyaandika katika ubao uliohifadhiwa ya kwamba bila shaka yoyote, watafanya ufisadi katika Baytul Maqdis mara mbili. Kila mara katika hizo, itakuwa ni udhalimu na uasi, na kuacha hukumu za Taurati, na kuwaua Manabii, na kusaidiana katika madhambi, na kwamba utawala wenu utaenea na kupanda kichwa na kiburi kwa dhuluma.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map