Qurani
/
17- SURAT AL-ISRAAI/
Aya 9
9- Hakika Qurani hii inawaongoza watu kwenye njia ambayo ndiyo njia iliyokaa sawa kabisa kuliko njia zote, na ndio njia ya salama kabisa ya kufikilia kwenye furaha ya kweli katika dunia. Na inawabashiria wenye kumwamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake ambayo wanaitii haki na wanatenda vitendo vyema, kuwa watapata ujira mkubwa siku ya kiyama.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map