Qurani
/
5- SURAT AL - MAAIDAH /
Aya 19
19- Enyi Mayahudi na Wakristo! Hakika umewajieni ujumbe wa Mtume wetu anayewadhihirishieni haki baada ya kusimama kwa muda ili msipate njia ya kujitetea juu ya ukafiri wenu kwamba Mwenyezi Mungu Hajawaleteeni mtoaji wa habari njema wala mwonyaji. Basi ndio huyo mtoaji wa habari njema na mwonyaji amewajieni. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mweza wa kila jambo ikiwemo kuteremsha risala, na Yeye ndiye Atakayewahisabuni kwa yale mliyokuwa mkiyafanya.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map