Qurani
/
16- SURAT ANNAHL /
Aya 1
1- Enyi washirikina! Kuweni na yakini kwamba Aliyokuonyeni Mwenyezi Mungu yatakuwa siku ya kiyama na yapo karibu kutokea bila shaka. Basi msifanye masihara kwa kuyahimiza yatokee. Mwenyezi Mungu Ametakasika na kuwa na mshirika wakuabudiwa badala Yake. Na Ametakasika na hiyo miungu mnayomshirikisha naye ambayo haiwezi jambo lolote!
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map