Qurani
/
16- SURAT ANNAHL /
Aya 19
19- Na Mwenyezi Mungu kwa ujuzi Wake uliokusanya kila kitu, Anayajua mnayoyaficha na mnayoyadhihirisha. Na hapana chochote kinachofichikana Kwake cha siri yenu na cha wazi.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map