Qurani
/
16- SURAT ANNAHL /
Aya 2
2- Mwenyezi Mungu Huteremsha malaika kwa yanayohuisha nyoyo katika wahyi Wake juu ya yule Aliyemchagua kumpa utume katika waja Wake, ili wawafundishe watu kwamba hapana mungu wa kuabudiwa kwa haki ila Mimi. Basi jitengeni na yanayonikasirisha na yanayokuleteeni adhabu. Na shikamaneni na utiifu ili ukukingeni na adhabu.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map