Qurani
/
16- SURAT ANNAHL /
Aya 9
9- Na ni juu ya Mwenyezi Mungu kwa mujibu wa fadhila Yake na rehema Yake, kukuonyesheni njia iliyonyooka ya kukufikisheni kwenye kheri. Na zipo njia zilizopotoka zisizofikisha kwenye haki. Na lau Angelitaka kukuongoeni nyote, basi Angalikuongoeni Akakuingizeni kwenye njia iliyonyooka. Lakini Amekuumbieni akili ya kutambua, matakwa ya kuelekezwa na Akakuachieni na hiari yenu.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map