Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /4- SURAT AN NISAA/
 
Aya 3

3- Na kama mtahofia kuwadhulumu mayatima kwa kuwa ni dhambi kubwa, basi vile vile uogopeni uchungu wa wake zenu kwa sababu ya kutowafanyia uadilifu kati yao mnapooa zaidi ya wanne. Basi oeni wawili, au watatu, au wanne, ikiwa mna imani kuwa mtaweza kufanya uadilifu. Na ikiwa mtaogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi oeni mmoja tu, au jistarehesheni na vijakazi mliowamiliki. Kwani hayo ni afadhali kuliko kufanya dhuluma na ujeuri. Na ni afadhali msije mkawa na watoto wengi hatimaye mkashindwa kuwahudumia.

Previous         Next


3- Na kama mtahofia kuwadhulumu mayatima kwa kuwa ni dhambi kubwa, basi vile vile uogopeni uchungu wa wake zenu kwa sababu ya kutowafanyia uadilifu kati yao mnapooa zaidi ya wanne. Basi oeni wawili, au watatu, au wanne, ikiwa mna imani kuwa mtaweza kufanya uadilifu. Na ikiwa mtaogopa kuwa hamwezi kufanya uadilifu, basi oeni mmoja tu, au jistarehesheni na vijakazi mliowamiliki. Kwani hayo ni afadhali kuliko kufanya dhuluma na ujeuri. Na ni afadhali msije mkawa na watoto wengi hatimaye mkashindwa kuwahudumia.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map