Qurani
/
4- SURAT AN NISAA/
Aya 39
39- Ni ubaya ulioje wa hawa! Je, ni nini kitawadhuru kama wangemwamini Mwenyezi Mungu na kuiamini siku ya mwisho na wakatoa vile Alivyowapa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya kuiitikia imani hii na yale yaliyomo ndani yake kati ya utakasifu wa nia na kutarajia thawabu? Na Mwenyezi Mungu Analijua kila jambo juu na chini.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map