Qurani
/
4- SURAT AN NISAA/
Aya 4
4- Wapeni wanawake mahari yao hali ya kuwa ni kipawa kwa roho safi. Na nyinyi hamna haki yoyote katika mahari hayo. Lakini ikiwa wanawake watatunukia kitu katika mahari hayo kwa radhi ya nafsi zao, basi kichukueni na kitumieni kwa kheri na usalama.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map