Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /13- SURAT AR RAAD/
 
Aya 19

19- Hakika walioongoka na waliopotoka hawawi sawa. Basi je, anayejua ya kuwa ulioteremshiwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu Aliyekulea, Akakuumba na Akakuteua kuufikisha ujumbe Wake kuwa ni haki isiyo na shaka, je, huweza kuwa huyo kama aliyepotea akaitupa haki hata akawa kama kipofu asiyeona? Hakika hawaitambui haki wakauzingatia Utukufu wa Mwenyezi Mungu, ila watu wenye akili ya kufikiri.

Previous         Next


19- Hakika walioongoka na waliopotoka hawawi sawa. Basi je, anayejua ya kuwa ulioteremshiwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu Aliyekulea, Akakuumba na Akakuteua kuufikisha ujumbe Wake kuwa ni haki isiyo na shaka, je, huweza kuwa huyo kama aliyepotea akaitupa haki hata akawa kama kipofu asiyeona? Hakika hawaitambui haki wakauzingatia Utukufu wa Mwenyezi Mungu, ila watu wenye akili ya kufikiri.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map