Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /13- SURAT AR RAAD/
 
Aya 2

2- Hakika Aliyekiteremsha Kitabu hichi, ni Mwenyezi Mungu Aliyezinyanyua mbingu mnazoziona zenye nyota zipitazo bila ya nguzo zinazoonwa, wala hazijui mtu ila Mwenyezi Mungu, ijapokuwa Amezifunganisha na ardhi kwa funganisho lisilokatika ila Atakapopenda Mwenyezi Mungu. Na Amelidhalilisha jua na mwezi kwa uwezo Wake kwa ajili ya manufaa yenu. Na jua na mwezi vinazunguka kwa mpango maalumu kwa muda Alioukadiria Mwenyezi Mungu (S.W). Na Yeye Subhana, Anakipanga kila kitu katika mbingu na ardhi na Anakubainishieni ishara Zake za  kilimwengu kwa kutaraji mpate kuamini kuwa Yeye ni Mmoja wa Pekee.

Previous         Next


2- Hakika Aliyekiteremsha Kitabu hichi, ni Mwenyezi Mungu Aliyezinyanyua mbingu mnazoziona zenye nyota zipitazo bila ya nguzo zinazoonwa, wala hazijui mtu ila Mwenyezi Mungu, ijapokuwa Amezifunganisha na ardhi kwa funganisho lisilokatika ila Atakapopenda Mwenyezi Mungu. Na Amelidhalilisha jua na mwezi kwa uwezo Wake kwa ajili ya manufaa yenu. Na jua na mwezi vinazunguka kwa mpango maalumu kwa muda Alioukadiria Mwenyezi Mungu (S.W). Na Yeye Subhana, Anakipanga kila kitu katika mbingu na ardhi na Anakubainishieni ishara Zake za kilimwengu kwa kutaraji mpate kuamini kuwa Yeye ni Mmoja wa Pekee.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map