Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /9- SURAT AT TAWBAH/
 
Aya 3

3- Na tangazo hili linatoka kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake kwa watu wote wanapojumuika siku ya hija kubwa ya kwamba hakika Mwenyezi Mungu na Mtume Wake wanajitenga na dhima katika mapatano na washirikina waliofanya hiana. Basi enyi washirikina mliovunja! Mkirudi mkaacha kumshirikisha Mwenyezi Mungu, basi itakuwa kheri kwenu hapa duniani na kesho akhera. Lakini mkikengeuka na mkabakia hivyo hivyo mlivyo, basi jueni kwamba nyinyi mngali chini ya Utawala wa Mwenyezi Mungu. Ewe Mtume! Waonye makafiri wote kuwa ipo adhabu iumizayo sana.

Previous         Next


3- Na tangazo hili linatoka kwa Mwenyezi Mungu na Mtume Wake kwa watu wote wanapojumuika siku ya hija kubwa ya kwamba hakika Mwenyezi Mungu na Mtume Wake wanajitenga na dhima katika mapatano na washirikina waliofanya hiana. Basi enyi washirikina mliovunja! Mkirudi mkaacha kumshirikisha Mwenyezi Mungu, basi itakuwa kheri kwenu hapa duniani na kesho akhera. Lakini mkikengeuka na mkabakia hivyo hivyo mlivyo, basi jueni kwamba nyinyi mngali chini ya Utawala wa Mwenyezi Mungu. Ewe Mtume! Waonye makafiri wote kuwa ipo adhabu iumizayo sana.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map