Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /10- SURAT YUNUS/
 
Aya 2

2- Haiwafalii watu kustaajabu na kuukanusha wahyi Wetu Tunaomfunulia mtu mmoja wao (Muhammad), ili awahadharishe watu na Adhabu ya Mwenyezi Mungu na awape habari njema wale walioamini miongoni mwao ya kwamba hapana shaka wana cheo cha juu kwa Mola wao. Na Ahadi ya Mwenyezi Mungu haigeuki. Wala haiwafalii watu hao wakanushaji kumsema Mtume Wetu Muhammad kuwa yeye ni mchawi maarufu.

Previous         Next


2- Haiwafalii watu kustaajabu na kuukanusha wahyi Wetu Tunaomfunulia mtu mmoja wao (Muhammad), ili awahadharishe watu na Adhabu ya Mwenyezi Mungu na awape habari njema wale walioamini miongoni mwao ya kwamba hapana shaka wana cheo cha juu kwa Mola wao. Na Ahadi ya Mwenyezi Mungu haigeuki. Wala haiwafalii watu hao wakanushaji kumsema Mtume Wetu Muhammad kuwa yeye ni mchawi maarufu.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map