Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /10- SURAT YUNUS/
 
Aya 39

39- Bali washirikina hawa, wamekimbilia kuikadhibisha Qurani bila ya kuzingatia, wakajua kwanza ni yapi yaliyomo ndani yake! Wao wenyewe hawakutizama ina nini wala hawakusita kuitafuta tafsiri yake na kutaka kuzielewa hukumu zake kwa kuwauliza wengine. Na kwa njia hii hii ya kukadhibisha bila ya ujuzi, ndivyo makafiri wa kaumu zilizotangulia walivyowakanusha Mitume wao na Vitabu vyao! Basi ewe mwanadamu! Angalia yaliishiaje mambo ya wakadhibishaji waliotangulia. Waliachiliwa mbali na wakateketezwa kwa adhabu! Na huu ndio Mwendo wa Mwenyezi Mungu kwa mfano wa watu hao.

Previous         Next


39- Bali washirikina hawa, wamekimbilia kuikadhibisha Qurani bila ya kuzingatia, wakajua kwanza ni yapi yaliyomo ndani yake! Wao wenyewe hawakutizama ina nini wala hawakusita kuitafuta tafsiri yake na kutaka kuzielewa hukumu zake kwa kuwauliza wengine. Na kwa njia hii hii ya kukadhibisha bila ya ujuzi, ndivyo makafiri wa kaumu zilizotangulia walivyowakanusha Mitume wao na Vitabu vyao! Basi ewe mwanadamu! Angalia yaliishiaje mambo ya wakadhibishaji waliotangulia. Waliachiliwa mbali na wakateketezwa kwa adhabu! Na huu ndio Mwendo wa Mwenyezi Mungu kwa mfano wa watu hao.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map