Qurani
/
10- SURAT YUNUS/
Aya 4
4- Kama Mwenyezi Mungu Alivyoanzisha uumbaji, basi marejeo yenu na marejeo ya viumbe vyote ni Kwake Yeye. Na Mwenyezi Mungu Ameahidi hivyo kwa ahadi ya kweli isiyovunjika. Na hakika Yeye Subhana Ameanzisha uumbaji wa viumbe kwa uwezo Wake, na vitakapoteketea, Atavirejesha kwa uwezo Wake, ili Awalipe Waumini wenye kumtii thawabu kwa uadilifu Wake uliotimia. Ama makafiri, wao huko katika jahanamu, watapewa vinywaji vinavyotokota kweli kweli, na watapata adhabu yenye kutia machungu kuwa ni malipo ya ukafiri wao.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map