Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /10- SURAT YUNUS/
 
Aya 40

40- Na miongoni mwa wakanushaji hawa, wapo ambao watakuja kuiamini Qurani baada ya kufahamu yaliyomo ndani yake na kuelewa maana yake. Na kipo miongoni mwao kikundi ambacho hakiamini wala hakiachi upotovu wake! Na Allah Subhana Anawajua vyema mafisadi wakanushaji na Atawalipa kwa vitendo vyao.

Previous         Next


40- Na miongoni mwa wakanushaji hawa, wapo ambao watakuja kuiamini Qurani baada ya kufahamu yaliyomo ndani yake na kuelewa maana yake. Na kipo miongoni mwao kikundi ambacho hakiamini wala hakiachi upotovu wake! Na Allah Subhana Anawajua vyema mafisadi wakanushaji na Atawalipa kwa vitendo vyao.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map