Qurani
/
10- SURAT YUNUS/
Aya 9
9- Hakika wale walioamini imani ya kweli, na wakatenda mambo mema katika dunia yao, Mola wao Atawaimarisha kwenye uongofu kwa sababu ya imani yao, na siku ya kiyama Atawaingiza katika bustani zipitazo mito kati yake, na wataneemeka kwa neema za milele.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map