Main Page

Download
About Islam
Islamic Pillars
Prophetic Tradition
Islamic Encyclopedia
Non-Muslims
Legislation
Creed
Prophet's Stories
Islamic history
Islamic Architecture
Library
Islamic conferences
Islamic conferences
   Qurani /12- SURAT YUSUF/
 
Aya 19

19- Wakaja watu upande ule wa kisima katika msafara wao wa kwendea haraka Misri. Wakamtuma mtu kati yao wa kuchota maji ya kunywa kisimani awaletee. Akatumbukiza ndoo yake akaivuta na mara ghafla akamwona Yusufu kanganganilia. Mchota maji yule akapiga kelele za furaha: Heri! Habari gani hii ya furaha! Huyu ni kijana! Wakamficha katika vitu vyao, wakamfanya ni bidhaa ya kuuzwa. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyazunguka yote waliyokuwa wakiyatenda kwa ujuzi Wake.

Previous         Next


19- Wakaja watu upande ule wa kisima katika msafara wao wa kwendea haraka Misri. Wakamtuma mtu kati yao wa kuchota maji ya kunywa kisimani awaletee. Akatumbukiza ndoo yake akaivuta na mara ghafla akamwona Yusufu kanganganilia. Mchota maji yule akapiga kelele za furaha: Heri! Habari gani hii ya furaha! Huyu ni kijana! Wakamficha katika vitu vyao, wakamfanya ni bidhaa ya kuuzwa. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyazunguka yote waliyokuwa wakiyatenda kwa ujuzi Wake.

 
Main Page Contact us Links About us Site Map