Qurani
/
12- SURAT YUSUF/
Aya 29
29- Ewe Yusufu! Wachilia mbali jambo hilo, lifiche na wala usiliseme. Na wewe bibi! Omba msamaha kwa dhambi yako. Hapana shaka kuwa wewe ni katika wenye dhambi waliokusudia kufanya makosa na kutenda maasi na kuwasingizia wengine uasi wao walioufanya.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map