Qurani
/
12- SURAT YUSUF/
Aya 9
9- Muueni Yusufu, au mtupeni nchi iliyo mbali na baba yake asiyoweza kuifikia, hapo yatakufikieni nyinyi mapenzi ya baba yenu na atakuelekeeni. Na baada ya kumtenga Yusufu naye kwa kumwuua au kumhamisha, mtakuwa watu wema, kwani Mwenyezi Mungu Atakubali toba yenu, na baba yenu ataupokea udhuru wenu.
Main Page
Contact us
Links
About us
Site Map